topleftround (1K)   toprightround (1K)
spacer

DEPARTMENTS

 

 

 


 

 TASWIRA YA MANISPAA YA KINONDONI :

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ni moja kati ya Manispaa 3 za Mkoa wa Dar es Salaam ambazo zinaunda Jiji la Dar es Salaam, Manispaa nyingine ni Ilala na Temeke. Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, ilianzishwa Kama Halmashauri ya Manispaa kwa Sheria ya Serikali (Mamlaka ya Mji) ya 1982 ambayo inaunganisha na kurekebisha sheria ya Manispaa (Municipalities Ordinance Cap. 105), Sheria ya Serikali za Mitaa (Local Government Ordinance Cap. 333) na Sheria ya Halmashauri ya Miji Urban Council Act No. 11 of 1978). Baadaye ilianzishwa Kama chombo huru na Taarifa ya Serikali (Government Notice No. 4) ya mwaka 2000, hivyo kuipa mamlaka ya kuongeza ubora wa utoaji wa huduma zinazotolewa kwa watu Taswira ya Kinondoni - 2010

 

 

 

LATEST NEWS

From the World economic forum meeting

Taratibu za usajili wa Tax

 Taratibu za usajili wa Bajaji

 

ANNOUNCEMENTS

Ilani ya usafi wa Mazingira kwa wakazi wa Manispaa

Hotuba ya Mstahiki meya kuhusu makisio ya bajeti 2010-2011

TENDERS

 Ulinzi na Usafi 2010-2011

 Uwakala wa Bima

 Construction of Box Culvert at Lubokwe-W-01

VACANCY

currently there is no vacancy availlable